HABARI KAKA MICHUZI NA WAPENZI WA BLOG YA JAMII KWA UJUMLA.
NAPENDA KUWAARIFU KUWA LEO ASUBUHI MAMA YANGU MZAZI
MRS MWAJUMA MAGANGA"MAMA MAGANGA AMEFARIKI DUNIA
NYUMBANI MAGOMENI MAPIPA MTAA WA KIYUNGI KITUO CHA MOROCCO HOTEL
MAZIKO YATAFANYIKA LEOLEO NYUMBANI MAGOMENI,NILIKUWA NAOMBA UNIWEKEE TAARIFA HIZI ILI ZIWAFIKIE WANA NDUGU NA JAMAA POPOTE PALE WALIPO ILI KUTAMBUA JUU YA MSIBA HUU MZITO AMBAO SINA JINSI YA KUUELEZEA.
KWA KUWA NIPO MBALI NA NYUMBANI(TZ) NAOMBA UNIPEPERUSHIE HABARI HII TAFADHALI KWANI NINA IMANI KUPITIA BLOG YA JAMII HABARI ZITAWAFIKIA WENGI,MAZIKO YATAFANYIKA BAADA YA KUSALI SAA KUMI JIONI.
Kwa niaba ya Familia nzima,
Maganga One (Ughaibuni)
NAPENDA KUWAARIFU KUWA LEO ASUBUHI MAMA YANGU MZAZI
MRS MWAJUMA MAGANGA"MAMA MAGANGA AMEFARIKI DUNIA
NYUMBANI MAGOMENI MAPIPA MTAA WA KIYUNGI KITUO CHA MOROCCO HOTEL
MAZIKO YATAFANYIKA LEOLEO NYUMBANI MAGOMENI,NILIKUWA NAOMBA UNIWEKEE TAARIFA HIZI ILI ZIWAFIKIE WANA NDUGU NA JAMAA POPOTE PALE WALIPO ILI KUTAMBUA JUU YA MSIBA HUU MZITO AMBAO SINA JINSI YA KUUELEZEA.
KWA KUWA NIPO MBALI NA NYUMBANI(TZ) NAOMBA UNIPEPERUSHIE HABARI HII TAFADHALI KWANI NINA IMANI KUPITIA BLOG YA JAMII HABARI ZITAWAFIKIA WENGI,MAZIKO YATAFANYIKA BAADA YA KUSALI SAA KUMI JIONI.
Kwa niaba ya Familia nzima,
Maganga One (Ughaibuni)
Pole sana mdau wa ughaibuni kwa kuondokewa na Mama mzazi, hakika huo ni msiba mkubwa hasa ukikupata ukiwa mbali na nyumbani.
ReplyDeleteSasa je, unahitaji mchango wowote mbali na kutupa taarifa?? Je, unategemea kwenda nyumbani kwa ajili ya msiba huo au mambo ya 'makaratasi' hayajakaa sawa??
Kama hujapata makaratasi, chonde chonde vumilia huko huko ughaibuni kwani nyumbani hali ni ngumu sana kwa watu ambao hawamo katika 'mtandao'
Inna Lillah Wainna Ilayhu Rajiuuun.
Abiola Jr. - columbus, OHIO
Pole sana taarifa tulizipata hapa tangu asubuhi na tuliwasiliana nao Tanzania pamoja na mdogo wako MRISHO anaeishi MWANZA ambaye nae amewahi kumkuta MAMA MAGANGA katika hatua za mwisho kabla umauti haujamkuta.Na tumejitahidi kuzisamabaza taarifa za msiba kila kona ya ulimwengu huu kwa wanaokujua.Pole sana MZEE MAGANGA kwa kuondokewa na mzazi wa pili,yote kazi ya MUNGU.
ReplyDeletePole sana kaka yangu. Mungu atakusaidia katika kipindi hiki kigumu na tumuombee mama mapumziko ya amani. We love you mum but god loved you more.
ReplyDeleteINNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN.
ReplyDeleteALLAH AMSAMEHE NA KUMREHEMU MAMA YETU.
Hakika ni msiba mkubwa kaka, ALLAH AWAPE SUBIRA NA KUWALIPA KWA MSIBA HUU.
Hakika kama sikutembelea hii blog nisingepata taarifa, bila shaka mdogo wako Mrisho Haroun Maganga ameghafilika kutujulisha wadau wake, na hii ni kutokana na mshtuko na kutingwa na mipangilio ya mazishi.
Nduguyo Dr. Hussein J A
innallilah wainna ilayhi rajiun.. pole sana Maganga One kwa kufiwa na mzazi wako.
ReplyDeletePole sana Maganga One. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. May she Rest in Eternal Peace.
ReplyDelete