
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiongea na Bibi Dorothy Nduku Kipsang mwakilishi wa Swedish Coopperative Centre kutoka Kenya baada ya kufungua mkutano wa wadauwa jumuiya ya benki za wananchi (community banks association -CBA ) katikati ni mwenye kiti wa jumuia hiyo bwana Sylvester Katemana mkutano huo umefunguliwa leo. Picha na Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...