Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Mbadala Prof. Rogasian Mahunnah katikati (Institute of Traditional Medicine-Muhas) akiongea na Waandishi wa Habari ambao hawapo kwenye picha, kuitambulisha huduma ya Tiba Asili nchini Tanzania ambayo ipo siku nyingi tangu kuwepo wanadamu, na Serikali kuitambua rasmi na kuikubali mwaka 1989 na kuihamishia Wizara ya Afya badala ya Wizara ya Utamaduni. Kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam. Akifuatana na wa kwanza (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Tiba Asili na Tiba mbadala (WAUJ) Dkt. Silvester Budeba na wa kwanza( kulia) ni Msajili Baraza Tiba Asili na Tiba mbadala (WAUJ) Dkt. Paulo Mhame.Picha na Anna Itenda –Maelezo.
Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Mbadala Prof. Rogasian Mahunnah katikati (Institute of Traditional Medicine-Muhas) akiongea na Waandishi wa Habari ambao hawapo kwenye picha, kuitambulisha huduma ya Tiba Asili nchini Tanzania ambayo ipo siku nyingi tangu kuwepo wanadamu, na Serikali kuitambua rasmi na kuikubali mwaka 1989 na kuihamishia Wizara ya Afya badala ya Wizara ya Utamaduni. Kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam. Akifuatana na wa kwanza (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Tiba Asili na Tiba mbadala (WAUJ) Dkt. Silvester Budeba na wa kwanza( kulia) ni Msajili Baraza Tiba Asili na Tiba mbadala (WAUJ) Dkt. Paulo Mhame.Picha na Anna Itenda –Maelezo.

1. mganga mashuhuri anatibu kwa siku tatu magunjwa haya;Kisukari,pumu, nguvu za kiume, BP sugu, kupata mtoto,kuwa tajiri,UKIMWI,Madaraka,Kwenda Ulaya na mengineo mengiiiiiii!!
ReplyDeleteHao ndo waganga wa Bongo wa Tiba za asili
Mangi wa Kibosho