Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Tiba Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Edwin Mungongo akifunguwa Warsh ya Wasimamizi wa Utekelezaji wa Kanuni ya Udhibiti wa Kemikali zinazomongonyoa Tabaka la Ozoni kulia Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Ningu Huko Ubungo Plaza Mijini Dar es Salaam
Baadhi ya Washiriki wa Warsha Wakimsikiliza Mgeni Rasmi Mkurugenzi Msaidizi Dk Edwin Mungongo (PIchani hayupo) Sheria ya Utekelezaji wa Kanuni za Udhibiti wa Kemikali Zinazomong'onyoa Tabaka la Ozoni Huko Ubungo PIaza Leo (Picha na Ali Meja}

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...