

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu mpiga picha anahitaji shule ya nguvu ya namna ya kufyatua taswira nzuri na zinazoonekana kwa uwazi zaidi. Pia anahitaji kamera inayoendana na kazi yake badala ya hiyo ya matumizi ya nyumbani
ReplyDeleteHii taswira mbali na kutaja majina ya waliomo bado haipendezi/haionekani vizuri kwa wasomaji.
Mtindo huu wa taswira ni wa mwaka 47.
Naishia hapa kwani naogopa kuchafua hali ya hewa.
NB:
Ankal, please usiibanie kwani nimejitahidi sana kujiheshimu mbali na kwamba nina hasira za picha mbovu.
Abiola Jr. - Mikanjuni, Tanga