
Tiba hiyo inayotokana na mti shamba, inasemekana kutibu magonjwa ya Ukimwi, Saratani, Kisukari, Shinikizo la Moyo na mengine mengi.
Mwandishi wa BBC Ben Mwang'onda amefika katika kijiji hicho
Kuona na kusikia video yake
Most read Swahili blog on earth
Tiba hiyo inayotokana na mti shamba, inasemekana kutibu magonjwa ya Ukimwi, Saratani, Kisukari, Shinikizo la Moyo na mengine mengi.
Mwandishi wa BBC Ben Mwang'onda amefika katika kijiji hicho
Kuona na kusikia video yake
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
inawezekana babu kuweza kutibu ma elfu ya watu bila kupungukiwa iyo dawa. wakati serekali wenyewe wanakuwaga na upuguvu wa madawa.
ReplyDeletekwa kama unasema Mungu anaweza yipi la kushangaza mbele yake?M.Mungu Mwanadamu kama ufikiriavyo,hivyo majibu yote kwake utapata ulitakalo,hivyo kushangaa ya wanadamu kawaida ila M.Mungu ukiyashanga nawe watakushamgaa,kuza imani yako kuwa M.Mungu yupo na anaweza kila jambo.
ReplyDelete