Flashback to June 27, 2007: JK akimpa pole Mama mzazi wa Marehemu Amina Chifupa Bi Judy Mbanga, siku moja baada ya kufariki kwa binti yake, jijini Dar. Mama yake Amina amefariki dunia usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam. Mipango ya mazishi inafanywa na tutaendeleaz kuwafahamisha kadri inavyowezekana. Mola ailaze pema mahali pema peponi - AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...