Naibu Waziri wa Ujenzi Dkt. Harrison Mwakyembe akitoa mada juu ya maadili ya uandishi wa habari, uhuru wa vyombo vya habari na mipaka yake katika warsha ya bunge kwa waandishi wa habari za Bunge wikiendi iliyopita katika hoteli ya Millenium mjini Bagamoyo.
Kwa video hii na zingine kibao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ndio nyie akina Ankal mnaharibu lugha. Si umemsikia mfano wa Dk. hapo eti Mhadhri wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Professa Issa Shivji. Huu mfano hauna tofauti na Chuo Kikuu cha University of Dar Es Salaam, Barabara ya Morogoro Road, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa ya Nyerere International Airport, n.k. Natumaini Ankal utakuwa umejifunza mengi toka kwa Dk.

    ReplyDelete
  2. Baelezee ba andishi ya Ku-Tanzanie juu ya kuwa makini.
    Mdau
    Lubumbashi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...