Jinamizi la mziki limeigeuzia kibao bendi maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya, Ngoma Africa band aka FFUkwa kutaka kuwatosa pabaya -- nchini Egypt!
Bendi ya Ngoma Africa aka FFU imelazimika kuvunja safari ya Egypt,ambako
Kikosi kazi hiko kilitakiwa kushiriki katika maoyesho ya "World Music Festival 2011" yaliyokuwa kuanzia tarehe 6 hadi 12 Mai 2011,mjini Port Alexandria
Kutokana na sababu za kiusalama kikosi kazi Ngoma Africa band kimeshauriwakuachana kabisa na safari ya Misri,kwa kupitia wakili wa bendi hiyo kamanda wa FFU Ras Makunja amelazimika kuvunja mkataba na watayarishaji wa onyesho hilo.
Ngoma Africa band yenye tabia ya kuwatia kiwewe na kuwadatisha wasahabiki kwa mziki wao..wamejikuta wanaelekezwa pabaya na dira na mzuka wa bongo dansi wanaelekezwa kwenda kutumbuiza mahala ambapo amani hakuna!
Mashirika ya bima za maisha nchini ujerumani imetoa onyo kwa bendi hiyo
hiwapo itajifanya kichwa ngumu na kwenda nchini Misri..basi chochote
kikitokea wasitegee kulipwa au huduma.
Pamoja na kuwa bendi hiyo ina uzoefu kwa kupiga tour mara nyingine katika
nchi ambazo zilizowahi kuwa na mapigano...lakini hili tour la Egypt ni utata
mtupu! Ambao unaonyesha wazi kuwa "Virungu vya FFU havitambi mbele
ya majamvia na mijeledi ya wamanga"
wasilikilize FFU at www.reverbnation.com/ngomaafricaband
jumuika nao www.facebook.com/ngomaafrica
Kamanda ras makunja kulikoni tena?sasa tutakufukuza kazi,
ReplyDeleteffu ndio mnaotegemewa kila penye fujo lazima patulizwe na virungu sasa
soo hili vipi? kamanda naona hili zito,vingivyo pale kwenu kariakoo
tutafunga tulubai
Kamanda wa ffu,tunakupa siku saba ujielezee kwa nini?umechomoa
ReplyDeletekwenda kutuliza ghasia?wakati umekula kiapo cha utii kuwa kila
penye ghasia lazima virungu vitembezwe.
te te te kamanda si mngekwenda tu,vyeo mngepandashiwa,mshiko mkubwa,
ReplyDeletekamanda mimi nawamshauri nendeni tu