Mwanalibeneke Mkuu wa Mji wa Iringa Bw.Francis Godwin (fulanazzz ya njano) akipiga kafia ndani ya mtubwi katika ziwa Nyasa hivi karibuni. Anakwambia huu ni usafiri mzuri usio na dalili za dowans ila usalama wake unategemea maombi zaidi.

Globu ya Jamii inatoa pongezi za dhati kwa Francis Godwin kwa kuweza 'kuuchangamsha' mji wa Iringa na miji ya jirani kwa habari motomoto kila siku bila kuchoka. Karibu Dar kaka, maana nasikia uko njiani kuja kututembelea...

Huyu bwana ni mfano wa kuigwa na iwapo kila mkoa utakuwa na angalau Francis Godwin mmoja tu, basi kiu cha habari nchi hii kitatoweka mara moja. Mtembelee Francis kila siku
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. MICHUZI SIO KAFIA NI KASIA USIHARIBU LUGHA MKUU!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. ah mmenikumbusha kwetu Lifuma na Lumbila ila ziwa letu hilo likichukia ni balaa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...