Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete taarifa ya ukaguzi wa hesabu za serikali na mashirika yake ikulu jijini Dar es Salaam leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mzee wa Kichaga pole kwa kazi nzito! ukitoka tu report hiyo inatupwa darini!

    ReplyDelete
  2. Nashukuru kwamba siku hizi ripoti kama hiyo inafanyiwa kazi japokuwa mwisho wa siku hakuna anayechukuliwa hatua. CAG kamaliza ya kwake kabaini hela zimeliwa, unafuata upelezi, then Takukuru, halafu kwa DPP, halafu mahakamani au hana hatia. Mahakamani: ana kesi ya kujibu, kesi itatajwa tarehe....., Kesi ikitajwa mashahidi wa upande wa utetezi wanatafutwa, Kila shahidi atatoa ushahidi wake. Sasa ni Mashahidi wa serikali wanaanza kutoa ushahidi, Mashahidi wa serikali wamemaliza kutoa ushahidi wao. Kesi itatajwa tena tarehe......, Kesi ikishatajwa; hukumu itakuwa tarehe......, siku ya hukumu hakimu hakufika mahakamani hukumu imeahirishwa hadi tareh......, Siku ya hukumu inafika wakili wa utetezi ameweka pingamizi. Pingamizi litajadiliwa tarehe.....Baada ya miaka 10 washitakiwa wameonekana hawana hatia. Kila lakehri Tanzania. Miaka si mingi tutaitwa developed country.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...