Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood , ( wapili kutoka kushoto) akimsikiliza kwa makini Mratibu wa Wafanyabiashara wa Kimarekani , waliotembelea nchini, Charles Porter , wa kutoka The Ocean in Dar es Salaam Business Summit ( wa kwanza kushoto ) ni Mchungaji mwandamizi wa kanisa la Bethel Temple , Dk Barnabas Mtokambali ( katikati) na kushoto ni Mchungaji wa Kanisa hilo, Emmanuel Meshelela, Mbunge huyo alikuwa mgeni rasmi katika kufungua mafunzo kwa wafanyabiuashara wa Manispaa ya Morogoro yaliyoandaliwa na Kanisa hilo pamoja na wafanyabiashara wa kutoka nchini Marekani ( hawapo pichani) mjini Morogoro. Picha na mdau John Nditi wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...