Jumuiya ya Watanzania wanaoishi katika Jimbo la Gauteng, Johannesburg, Afrika ya Kusini (TALGA), inatoa salamu za pole na rambi rambi kwa Watanzania wote walioathirika na hata kupoteza maisha kutokana na mlipuko wa mabomu katika Kitongoji cha Gongo la Mboto, jijini Dar es Salaam. Hakika ni vigumu kuelezea janga hilo zito na hasara iliyowakuta waathirika hao pamoja na Taifa kwa ujumla. Jumuiya iko nanyi katika wakati huu mgumu na iko tayari kusaidia kwa hali na mali.

Dr. Robert Ngude

Mwenyekiti wa muda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nataka kuwapongeza TALGA kwa kutoa salamu za pole na rambirambi kwa wakazi wa Gongo la Mboto. Ni faraja kubwa sana kukumbukwa na ndugu na jamaa mlio mbali nasi.
    Naiombea TALGA maisha marefu na mafanikio mema.
    Mdau
    Faustine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...