



Juu na chini ni eneo la hifadhi ya msitu Matogoro, Songea likiwa limeachwa wazi bila kupandwa miti kutokana na ukataji holela usiozingatia kanuni za uhifadhi wa mazingira hali inayotishia kutoweka kwa chanzo cha mto Ruvuma.Picha na Aron Msigwa - MAELEZO. |
Viongozi wetu bwana utafikiri wanaishi sayari nyingine, matamko yao kama vile wanaota! Maofisa wao ndio wanaongoza katika uharibifu wa hiyo misitu kwa kutoa vibali bila kuzingatia taratibu pia kutotoa njia ya mbadala za kuyakabili matatizo haya.
ReplyDeleteMimi nauliza Dr Kilahama aliposema hakuna tatizo katika msitu wa matogoro alikua ana maana gani. JK angalia hawa ndio wanaoua chama chako na kusababisha wananchi waione serikali yote ni ya wachakachuaji. Inauma sana, lakini poa ndio bongo.
ReplyDelete