Beki wa timu ya Polisi Dodoma, Elias Mafutaa akiruka juu kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake huku mshambuliaji wa Azam FC, Mrisho Ngasa akiwania mpira huo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Azam imeshinda 3-1.Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.
Home
Unlabelled
azam fc yaifunga polisi dodoma 3-1 leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...