Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mjumbe maalum wa Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni Waziri wa sheria na Mwanasheria mkuu wa Rwanda Bwana Tharcisse Karugama muda mfupi baada ya mjumbe huyo kuwasilisha ujumbe kwa Rais ikulu jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni balozi wa Rwanda nchini Mh. Fatuma Ndagiza. picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
Home
Unlabelled
JK atembelea wizara ya kazi, apokea ujumbe maalumu toka kwa Kagame
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
naomba kuwasilisha waziri wa justice huyo anaitwa karugarama tharcisse sio mwanasheria mkuu wa rwanda.mwanasheria mkuu wa rwanda anitwa martin ngoga.
ReplyDeletemdau kigali makazi boxini kusaka chake