








Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HELLO, I AM SEARCHING FOR THE MONTHLY PRESIDENTIAL SPEECH FROM STATE HOUSE. PLEASE,IF THERE IS ANYONE WITH THE LINK CAN HELP WILL BE APPRECIATED
ReplyDeleteThank you very much
Mdau USA
nafarijika kumuona kamanda Safari(Prof) akiwa tayari ndani ya gwanda, chadema mwendo huo huo
ReplyDeletehaya mambo hayawezi kufanyikia sehem nyingine mpaka iwe hapo udsm?mbona tupo nchi za watu na tunasoma vyuo vikuu hatujawahi kuona hayo mambo yana fanyika vyuoni?hakuna sehem nyingine zaidi ya hapo?naweza nikajiuliza mambo mengi hata jibu sijapata viongozi wa siasa hapohapo sasa hata sielewi inamaana hizo siasa ndio sehemu yake ya kupata umaarufu wa mtu hapo?
ReplyDeleteAnonymous wa 06:16:00pm, Inategemea mkuu wangu, mimi ni USA na chuoni kwangu nimeshuhudia midahalo mingi ya kijamii, Kisiasa, Kiuchumi na Kitaaluma ikifanyika chuoni kwangu na nimeshiriki kuandaa baadhi ya hiyo midahalo. Sasa kama chuoni kwako haifanyiki isiwe kigezo cha kukosoa hayo yanayofanyika Mlimani. Pia nafasi ya wana taaluma na wanazuoni katika masuala ya kikatiba ni muhimu sana.
ReplyDeleteSio kwamba nasifia UDSM ni kitovu cha wanazuoni Tanzania hata kama sifa imeanza kupotea lakini kumbuka kwamba miaka ya sabini, UDSM walikua ni school of thought ndio maana hadi leo unawakuta watu kama kina Issa Shivji wanajulikana kimataifa.
Au ndugu yangu ulitaka mdahalo ukafanyikie CHUO CHA SANAA BAGAMOYO au Mlimani City KAMA VILE MKUTANO WA WAWEKEZAJI?
Mdau USA.