Rapa bora wa mwaka Khalid Chokoraa akiongoza mashambulizi wakati Mapacha Watatu walipofanya onesho la pamoja na mwanamuziki bora wa mwaka 20% ukumbi wa Mzalendo Pub Millenium Towers Kijitonyama jijini Dar Jumapili
Kalala Junior na Jose Mara wakienda
sambamba na wanenguaji wao

20% (wa pili shoto) na tuzo zake akiwa na trupu lake zima
Combinenga productions baada ya onesho
.
Kwa mapicha zaidi na habari
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...