Kituo cha mabasi yaendayo mikoani (UBT) hususani eneo la maegesho ya abiria imegubikwa na hali mbaya ya maji kutuwama, matope kutawala na mbaya zaidi ni uwepo wa utelezi.
Hii ni kwa wadau wote wanaosababisha magari ya watu yaharibike kwa mashimo,nguo zinachafuka kwa matope, Wadau mpoo? Au mpaka JK aje awakoromee ndio mrekebishe hali hii?

Mdau
Ubungo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hayani mambo tunayataka ufumbuzi wake kila leo matope kila kona ya jiji na sio kikombe cha babu

    ReplyDelete
  2. Fedha tunazolipa zinakwenda wapi nyinyi watu wa Manispaa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...