Mdau Anita Mungai-Rumadha na mai hazbendi wake Sensei Rumadha Fundi (shoto) na kazin wake Kitova Mungai baada ya kula nondozzz ya Social Work Chuo Kikuu cha University of North Texas

 Profesa wa Anita anaungana nao na marafiki katika picha ya pamoja
 Anita na Rumadha wakiwa watoto wao Ruani na Iman
 Ndugu, jamaa na marafiki wakifurahia nondozzz ya Anita
Anita akiwa katika foleni ya kwenda kuchota nondozzzz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 22, 2011

    Hongera dada Anita

    ReplyDelete
  2. Eddy kalibotiMay 23, 2011

    Hongera sana Sister Anita, Pia hongera mjomba Romi Nondo zimekubali na picha zimependeza sana!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 23, 2011

    pamoja na hayo yote mimi niupenda huo MWANYA wake. hmmm

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 23, 2011

    Hongera da Anita , sasa hii ilikuwa masters au PHD?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...