MFANYAKAZI BORA WA WA KIUME HAIR DESIGNER OMARY MKUBARU (CHUDA) AKIPOKEA ZAWADI YA SIMU YA MKONONI NA PESA TASLIMU SH. 50,000/- TOKA KWA DK. OTHMAN WANINI NA MKURUGENZI MKUU WA BM BARBER & BEAUTY CENTRE BW, BENNO J. CHELELE (MD) KWENYE HAFLA YA KUWATUNUKU WAFANYAKAZI ILIYOFANYIKA SALUNI HAPO MTAA WA SEKENKE, KINONDONI, DAR
BEAUTICIAN ANAITWA NEEMA MUSHI AKIPOKEA ZAWADI YA SIMU NA PESA TASLIMU SH. 50,000/- TOKA KWA DK. OTHMAN WANINI, MWENYE MIWANI NI MR. PENDAELI SINGA NA MWISHO NI MD BENNO J. CHELELE
WAFANYAKAZI WA BM WAKIFANYA CHIAAAZZZZZZ KWENYE HAFLA HIYO
PICHA YA PAMOJA YA WAFANYAKAZI NA VIONGOZI WA BM BARBERSHOP & BEAUTY CENTRE AMBAO WAPO KINONDONI A MTAA WA SEKENKE
SIMU 0655 10 00 16 AU 266 8672

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2011

    Safi sana kaka Beno.. wewe ni mfano wa kuigwa. unawapa motisha wafanyakazi wako. wapi wachache sana.. naweza sema wewe ni wakwanza..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...