Mashabiki damu wa timu ya Chelsea wakiwa katika picha ya pamoja na kombe lao mara baada ya kuibuka vinara wa Fiesta Soka Bonanza mjini Dodoma leo.Ama kwa hakika hili ni tamasha la tatu la msimu wa dhahabu unaoendelea na Serengeti fiesta soka bonanza kufanyika,tamasha la kwanza lilifanyika katika viwanja vya Lidaz Club jijini Dar,tamasha la pili ndani ya jiji la Mwanza kwenye uwanja wa CCM-Kirumba,ambako sehemu zote hizo mbili za awali timu ya mashabiki wa Real Madrida waliibuka washindi, na sasa ndani ya Dodoma ambapo Chelsea wameibuka mabingwa wa tamasha hili na kujinyakulia kombe.
Mdau Rodrick akiishangilia kwa furaha mara baada ya timu yake kuibuka mshindi.
Mashabiki wa timu ya Chelsea wakiwa na kombe lao kwa pamoja jioni ya leo mara baada ya kuibuka vinara wa msimu wa dhahabu unaoendelea na serengeti soka bonanza mjini Dodoma leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2011

    Nasikia kichefuchefu kuona habari kama hii

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...