*We are located at Shekilango road, Sinza Madukani,
Dar es salaam

*We rent per square and per floor with wide road
*We have standby generator

*We have sufficient parking space

*Security is also available

*Fantastic view of the financial core
flexible lease terms available

*For additional information and viewing
call
+255 767 200002 or 714 868586








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 10, 2011

    .....................Arsenal utawajua tu !

    ReplyDelete
  2. dee wa daaMay 10, 2011

    hebu tuonyeshe parking yako....Eneo lenyewe tunalijua unataka kutuhamisha nini? kwa upande wa kusini huku nipo nauza nyumba yangu upate parking space. la utalijua jiji.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 10, 2011

    vipi mbona hakuna picha zakuonyesha madhari ya chini au ndio kusema mnapangisha gofani tu!

    ReplyDelete
  4. Mliopo usa au ulaya mrudi kuwekeza sio maneno Tanzania kuna nafasi nyingi za benki na miradi mingi tu.
    Tusiwe tunalamika na kuwaambia wenzetu wanaosema ni wajasilia mali unawaambia Tanzania hakuna hela Tanzania kuna nafasi nyingi za kujiendeleza ili mradi uwe na kianzio yaani uwe na shughuli inayoingiza pesa sio utoke USA AU ULAYA UKAUZA SERA watakuangalia na kukupa masharti kibao mwisho wake utasema Tanzania hakufai kufungua account matatizo kumbe ulienda kuuza sera

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...