Tarehe na mwezi kama wa leo kwa Baraka zako alizaliwa kiumbe aliyepata Baraka zote kutoka kwa Mwenyezi Mungu wetu na kwa wazazi wake ambao ni Mungu wa Dunia.
Na kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makampuni ya MeTL na pia Mkurugenzi wa mtandao mahiri wa habari na burudani hapa nchini na duniani wa MO BLOG.
Mpenda watu, mcheshi na mpenda michezo na mwenzetu.
Tunakumbuka siku ya kuzaliwa kwako na mafanikio yako.
Wapenda amani na maendeleo ya vijana mmeshamtambua kuwa si mwingine bali ni Mh.Mohammed Gullam Dewji.
Mbunge wa Singida Mjini.
HAPPY BIRTHDAY BROTHER
Na kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Makampuni ya MeTL na pia Mkurugenzi wa mtandao mahiri wa habari na burudani hapa nchini na duniani wa MO BLOG.
Mpenda watu, mcheshi na mpenda michezo na mwenzetu.
Tunakumbuka siku ya kuzaliwa kwako na mafanikio yako.
Wapenda amani na maendeleo ya vijana mmeshamtambua kuwa si mwingine bali ni Mh.Mohammed Gullam Dewji.
Mbunge wa Singida Mjini.
HAPPY BIRTHDAY BROTHER



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...