Video Courtesy of White House

Osama bin Laden
Rais Barak Obama wa Marekani ametangaza sasa hivi kwamba adui namba moja wa nchi hiyo Osama bin LAden ameuwawa Jumapili hii huko Islamabad, Pakistan, katika operesheni maalumu ya majeshi ya nchi yake iliyofanikiwa baada ya miaka mingi ya kumwinda mtu huyo mzaliwa wa Saudi Arabia. Marekani yote imelipuka kwa nderemo na furaha kwa habari hizi na hivi sasa nchi nzima inasherehekea. Mwili wa Osama inasemekana uko mikononi mwa Marekani na kwamba hakuna mwanajeshi wa Kimarekani aliyedhurika katika operesheni hiyo ambayo Rais Obama ameitaja kama "Haki Imetendeka".
Speech of US President Barack Obama on the
death of Osama bin Laden in Pakistan
Good evening.
Tonight, I can report to the American people and to the world that the United States has conducted an operation that killed Osama bin Laden, the leader of al Qaeda, and a terrorist who's responsible for the murder of thousands of innocent men, women and children. It was nearly ten years ago that a bright September day was darkened by the worst attack on the American people in our history. The images of 9/11 are seared into our national memory.
Hijacked planes cutting through a cloudless September sky, the twin towers collapsing to the ground, black smoke billowing up from the pentagon, the wreckage of flight 93 in Shanksville, Pennsylvania, where the actions of heroic citizens saved even more heartbreak and destruction.
And yet we know that the worst images are those that were unseen to the world, the empty seat at the dinner table, children who were forced to grow up without their mother or their father, parents who would never know the feeling of their child's embrace, nearly 3,000 citizens taken from us, leaving a gaping hole in our hearts. On September 11th, 2001, in our time of grief, the American people came together.
We offered our neighbors a hand, and we offered the wounded our blood. We reaffirmed our ties to each other and our love of community and country. On that day, no matter where we came from, what God we prayed to or what race or ethnicity we were, we were united as one American family.
We were also united in our resolve, to protect our nation and to bring those who committed this vicious attack to justice. We quickly learned that the 9/11 attacks were carried out by al Qaeda, an organization headed by Osama bin Laden, which had openly declared war on the United States and was committed to killing innocents in our country and around the globe.
So we went to war against al Qaeda, to protect our citizens, our friends, and our allies. Over the last ten years, thanks to the tireless and heroic work of our military and our counterterrorism professionals, we've made great strides in that effort. We've disrupted terrorist attacks and strengthened our homeland defense. In Afghanistan, we removed the Taliban government which had given bin Laden and al Qaeda safe haven and support.
And around the globe, we worked with our friends and allies to capture or kill scores of al Qaeda terrorists including several who were a part of the 9/11 plot.
Yet, Osama bin Laden avoided capture. And escaped across the Afghan border into Pakistan. Meanwhile, al Qaeda continued to operate from along that border and operate through its affiliates across the world. And so shortly after taking office, I directed Leon Panetta, the director of the CIA, to make the killing or capture of bin Laden the top priority of our war against al Qaeda.
Even as we continued our broader efforts to disrupt, dismantle and defeat his network. Then last August, after years of painstaking work by our intelligence community, I was briefed on a possible lead to bin Laden. It was far from certain. And it took many months to run this thread to ground. I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we could located bin Laden hiding within a compound deep inside Pakistan.
And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action and authorized an operation to get Osama bin Laden and bring him to justice.
Today, at my direction, the United States launched a targeted operation against that compound in Pakistan. A small team of Americans carried out the operation with extraordinary courage and capability. No Americans were harmed. They took care to avoid civilian casualties.
After a firefight, they killed Osama bin Laden and took custody of his body. For over two decades, bin Laden has been al Qaeda's leader and symbol and has continued to plot attacks against our country and our friends and allies. The death of bin Laden marks the most significant achievement to date in our nation's effort to defeat al Qaeda.
His death does not mark the end of our effort. There's no doubt that al Qaeda will continue to pursue attacks against us. We must and we will remain vigilant at home and abroad. As we do, we must also reaffirm that the United States is not and never will be at war with Islam.
I've made clear, just as President Bush did shortly after 9/11, that our war is not against Islam. Bin Laden was not a Muslim leader. He was a mass murderer of Muslims. Indeed, al Qaeda slaughtered scores of Muslims in many countries including our own. So his demise should be welcomed by all who believe in peace and human dignity.
Over the years, I've repeatedly made clear that we would take action within Pakistan if we knew where bin Laden was. That is what we've done. But it's important to note that our counter-terrorism cooperation with Pakistan helped lead us to bin Laden and the compound where he was hiding. Indeed, bin Laden had declared war against Pakistan as well and ordered attacks against the Pakistani people.
Tonight, I called President Zardari, and my team has also spoken with their Pakistani counterparts. They agree that this is a good and historic day for both of our nations. And going forward, it is essential that Pakistan continue to join us in the fight against al Qaeda and its affiliates.
The American people did not choose this fight. It came to our shores. And started with the senseless slaughter of our citizens. After nearly ten years of service, struggle and sacrifice, we know well the costs of war. These efforts weigh on me every time I, as commander in chief, have to sign a letter to a family that has lost a loved one or look into the eyes of a service member who's been gravely wounded.
So Americans understand the costs of war. Yet as a country, we will never tolerate our security being threatened, nor stand idly by when our people have been killed. We will be relentless in defense of our citizens and our friends and allies. We will be true to the values that make us who we are. And on nights like this one, we can say to those families who have lost loved ones to al Qaeda's terror, justice has been done.
Tonight we give thanks to the countless intelligence and counter-terrorism professionals who have worked tirelessly to achieve this outcome. The American people do not see their work nor know their names, but tonight they feel the satisfaction of their work and the result of their pursuit of justice.
We give thanks for the men who carried out this operation, for they exemplify the professionalism, patriotism and unparalleled courage of those who serve our country. And they are part of a generation that has borne the heaviest share of burden since that September day.
Finally, let me say to the families who lost loved ones on 9/11, that we have never forgotten your loss, nor wavered in our commitment to see that we do whatever it takes to prevent another attack on our shores. And tonight, let us think back to the sense of unity that prevailed on 9/11. I know that it has, at times, frayed. Yet today's achievement is a testament to the greatness of our country and the determination of the American people.
The cause of securing our country is not complete, but tonight we are once again reminded that America can do whatever we set our mind to. That is the story of our history. Whether it's the pursuit of prosperity for our people or the struggle for equality for all our citizens, our commitment to stand up for our values abroad, and our sacrifices to make the world a safer place. Let us remember that we can do these things not just because of wealth or power, but because of who we are, one nation under God, indivisible with liberty and justice for all.
Thank you.
May God bless you.
And may God bless the United States of America.


Mdau wa kwanza, je hi si kinyume na katiba ya Marekani, ambayo inaamini kuwa "You are innocent until proven guilty by a court of law"? Je hiyo kumuuwa raia wa nchi nyengine bila ya kumfikisha mahakamani ndicho unachokifurahia? Mimi sikubaliani na mtindo wa USA na vibaraka wao kuchukua sheria mikononi mwao.
ReplyDeletehahahaaaaa mdau namba mbili utajibebaaaaaaaaa safi sana hata mimi nina raha sanaaaaaaa OSAMA kuuwawa ametuulia watz wetu, we mdau kama huna uchungu na watanzania waliouwawa shauri zakooooo, kwa kweli ni furaha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa afe kabisa
ReplyDeleteMungu ailaze mahala pema roho ya Jemedari OSAMA,, kwa hakika mapambano yataendelea
ReplyDeleteBabu
marekani ndio asichukue sheria mkononi??? ila OSAMA achukue sheria mkononi???
ReplyDeleteNimesubiri miaka 13 kwa haki kutendeka. Yaani nakumbuka kama jana pale ubalozi wa Marekani ilipolipuliwa tulikuwa tunakaa hatua chache toka ubalozini. Vitu vilivyoharibika na watu waliopoteza maisha yao. Indeeed, Justice has been done.
ReplyDeleteMdau hapo juu unayesema innocent until proven guilty, je unaelewa hayo yalikuwa mapambano na ilikuwa nia yao kumchukua hai lakini kutokana na alivyopambana badala kusalimu amri yeye aliamua kupambana. Vile vile hatuna details kwa sasa jinsi ilivyoenda. Kwani yeye Osama amewahi kutamka wazi wazi kuwa hataki kukamatwa hai. Je, unajua kama labda wasaidizi wake walipiga hiyo risasi au yeye mwenyewe. Hii ni vita ambayo yeye alitangaza kwa hiyo hapo mapambano yalikuwa ni vitani.
Ni Osana Bina Laden na Si Obama Bin Laden
ReplyDeleteWamarekani ni wanafiki wanajidai wana fanya justice hamna ki2 zaidi ya wizi dhuluma na uonevu katika dunia hii, wapatikane wengine wengi tuu wa kumridhi OSAMA mpaka haki itapatikana, tena afadhali michuzi alivyoweka caption ya picha amepatia sana
ReplyDeleteUna prove guilty nini wakati mtu ali-claim responsibility ya kila attack? Na kama alikuwa si mhalifu alikuwa anajificha ili iweje?
ReplyDeleteMdau-CA, USA
Mdau wa kwanza unashangilia ila umewahi kujiuliza Osama na Al Qaida walitengenezwa na nani? ni Wamarekani wenyewe walimpatia mafunzo na silaha Osama na Al Qaida miaka ya 80 ili aweze kuwaondoa Warusi ambao waliingia kinguvu Afghanistan.. kwa kuwa US ilikuwa na interest za kijasusi na Afghanistan na nchi za maeneo hayo.. na kweli Osama akawahujumu warusi hadi wakaondoka Afghanistan.. wakati huo Al Qaida ilikuwa imeimarika katika nyanja ya Ugaidi ambao walifundishwa na USA...baadaye Osama alipogeuka na kugoma kutumiwa kama kibaraka wa US ndipo walipomuita ni adui wao.. kweli US have "permanent interest not permanent friends..".. Binafsi naona US ni wanafiki.. hypocrites.. sipendi mauaji ya kigaidi ila naona pia US imetuletea problem hizi maana ime train hawa watu na kisha wanapowageuka wote tunaumia..
ReplyDeletemithupu umechapia ( OBAMA BIN LADEN )
ReplyDeleteMdau wa pili kama hujui, Raisi Bush alisign excutive order kuwa Osama anatakiwa dead au alive....Na Obama alisign excutive order alipoingia madarakani kuwa Osama anatakiwa dead au alive. Kwa hiyo hapo sio sheria mkononi ni kwamba alishakua amehukumiwa ilikuwa anasubiliwa siku yake tu.
ReplyDeletehata kama ni kinyume cha katiba na sheria ya marekani nakuuliza swali "Ingekuwa wewe ungefanyaje?"
ReplyDeletemimi nashangaa sana mtu mzima anpoandika jambo ambalo kabla hajalisema anatakiwa alifikirie sana.
ReplyDeleteUnapolalamika ooh marekani wana roho mbaya wamaefanya hili wamefanya lile,tukuulize wewe una roho gani je tukipata nafasi ya kuwauliza ngudu,rafiki,mumeo/mkeo au wafanyakazi wenzako na majirani wao watakuelezeaje kwenye jamii hii ya kiTanzania?usimhukumu mtu kwasababu ndani yako una uchungu/tazamo binafsi juu ya jambo flani.Osama ameua watu wengi wasio nahatia pia kaharibu sifa ya nchi alizolipua zaidi kaharibu miundo mbinu na majengo kwa interest zake binafsi kama shida yake ilikuwa watu flani nina uhakika alijua pakuwapata.jiulize ndugu zako sita wangekuwa wamekufa kwenye hayo majanga wewe ungefanyaje???????
Aliua watu wetu pale ubalozini..kitendo chake bado nakikumbuka jinsi kilivyoumiza watu wetu..alisababisha hata taratibu za kusafiri kubadilika..alisababisha hata mazingira magumu ya kupata VISA kwenye baadhi ya nchi ...Huyu mtu alistahili kufa kifo kilichomfika...na ukweli unabaki kuwa aliyecheka mwisho ndiye mshindi..
ReplyDeletePoleni mliosikitika na hongereni mliofurahia. Mimi nawaomba tu watanzania hayo malumbano ya marekani na Osama yasije yakaleta tena maafa kwa watanzania wasiokuwa na hatia. Wote mliosikitika na mliofurahia epukeni msije mkatumiwa na hayo makundi.
ReplyDeletewhat you sow is what you gonna havest
ReplyDeleteHeeeeeeeeee,Teteeeeeeeeeee,wajinga ndo wali wao,CIA AMERICA wanamipango ya miaka 25 ya kuendesha na kuchuma mali za waarabu,hata unayekaa America ujui?
ReplyDeleteKuuwawa kwa OSAMAsio mwisho wa kuwapiga waarabu
Kwa hiyo nyinyi ni wale wanaouwa vibaka mitaani wakawaacha mafisadi na BMW X5 zao waendelee kulifisidi hili taifa? Nchi zote duniani zinapinga "mob justice" sasa Marekani na vibaraka wake mnafurahia hiyo. Au kwa kuwa mpo Ughaibuni unajipendekeza mpate viza? Ushahidi gani ulionyesha Osama karipua ubalozi wa Marekani? Ushahidi unaopatikana kwa kumtesa mtu haukubaliki. Hapa kuna ukweli mwingi ambao ungepatikana kama huyo Osama angefikishwa mahakamani. Mahakama ipo kusikiliza pande zote. Kesi ya Al-kaida ilitakiwa ihukumiwe kwenye korti ya kimataifa huko Hague ili haki ipatikane.
ReplyDeletekujifanya mnajua sana wabongo ndiomana umasikini hawatoki kilakitu mnakijua nyie du mnachekesha kweli
ReplyDeleteMdau wa Dallas acha kujipendekeza...limbukeni
ReplyDeleteinna lilahi wa inna illahi rajiun
ReplyDeleteKwa bahati mbaya sana ni watu wachahe mno wanaojua nini wanachokifanya wamarekani. Mfano wakati wanamtuhumu kuwa Osama kauwa watu wengi, ni watu wachache tu wanaojua kwamba Marekani ndio iliyotengeneza tetemeko la Japani, tetemeko la haiti na na kimbunga cha tornado na mabo mengine mengi maovu. Upo ushahidi tosha kabisa juu ya hayo. if somebody is interested let him/her ask nimpe facts. Je nani mhalifu zaidi kati yao na Osama?
ReplyDeletejamani pamoja na mambo ya Osama,mmeangalia hapo pembeni vitu hivyo vya Tausi Boutique?watoto wazuri kwa kweli au mnaonaje wadau?
ReplyDeleteMdau Mbambabay.
Anonymous wa Mon 02,11:22 AM 2011........Naona wewe ni kipofu....unataka ushahidi gani? Na tukiomba Visa ya USA hatuulizwi kuhusu Osama!Marekani inaweza kuwa na makosa yake Lukuki kama taifa jingine tu,Kwani hakuna taifa duniani ambalo haliangalii maslahi yake labda Tanzania! Hivyo kwa hili la Osama USA wanasababu ya kumuangamiza, hata kama aliumbwa na CIA, Kwani hata mbwa unayemfuga kukulinda na kukutumikia akipata wazimu na akaanza kung'ata watu hovyo na hata kukung'ata na wewe ni lazima umuue! Na wala hatutakulaumu!
ReplyDeleteNyie Mna Uhakika gani Kwamba Osama Existed? hamuoni alivotokea hadi alivotoweka is quite strange? War against Terrorism?...ilikuwa mbinu ya kuingiaa Iraq..huyu jamaa alikuwa trained na Wamarekani wenyewe, mimi naamini Kwamba ile 911 ilikuwa mpango uliosukwa..naaamini kaabisa na huyu Osama ni kiumbe tu aliyotumiwa ku-complete mission yao sasa wamemaliza wakjifanya eti tumemuua..There is no Osama Bin Laden! America created him. And then acted lik they desroyed him...Thoug terrorism did exist lakini na watu baada wakatumia his image kufanya mambo mengi ya kigaidi ndo maaan wameamua kumuua...lakin OSama HAYUPO...angekuopo Marekani na masifa yote hata Mwili Tungeuona..na picha zaidi kuliko hizi photoshop soma habari HApa..
ReplyDeletehttp://www.daanspeak.com/AlQaeda01Eng.html
Nyie mteteeni tu huyo Osama, baba yenu Gaddaffi kitumbo kinamcheza maana jamaa kitimtim kinaingia Tripoli muda si mrefu nae mtamsikia ni al-marhum....chezea taifa kubwa USA.
ReplyDeletePoleni wafiwa mliofiwa na "kipenzi" wenu
ReplyDeleteosama. Lakini Mkumbuke yeyote atakayejaribu kufanya maovu atapatikana tu hata kama ni miaka 10
Wewe mdau wa Mon May 02, 01:54:00 PM 2011 kwamba OSAMA NEVER EXISTED......Je Hata LUMUMBA naye hakuwepo? Hata Hitler hakuwepo? Maanake ni picha tu! Hakuna makaburi! Vipi Karume? Hakuna picha zao wakiuawa! Naogopa usije ukasema hata Chifu Mkwawa, Kinjekitile wote hawakuwepo!Hata miili yao na Makaburi hatujui iko wapi! Be objective please!
ReplyDeleteMdau unayesema mambo mengi maovu yanaletwa na Marekani ni yapi hayo? Ni Marekani anayeleta vibaka mtaani kwangu kwa mtogole? Ni Marekani anayefanya Halmashauri ziponde pesa za wananchi kama hazina Mwenyewe! Ni marekani inayoleta mgao wa Umeme!
ReplyDeletemay 02,01:54:00 pm umemaliza.Sipo upande wowote ila tunataka ushahidi WATUONYESHE KAMA ILIVYOKUWA SADDAM SIYO HIZI HABARI ZA KUWA AMESHAZIKWA BAHARINI NA BLAA BLAA NYINGI.
ReplyDeleteHAKUNA KITU INAYOITWA OSAMA.
BIGOTS THINK MUSLIMS ARE HURT BY THIS. AND SHOULD ACTUALLY NOT JUBILATE THE DEATH JUST BECAUSE OSAMA CLAIMED ISLAM. GIVE ME A BREAK.
ReplyDeleteALKAIDA HAS KILLED MORE INOCENT MUSLIMS THAN ANY OTHER RELIGIOUS GROUP (Obama's speech in Cairo)
IF THE PROPHET WAS ALIVE TODAY HE WOULD LEAD THE WAR AGAINST TERROR JUST LIKE HE DID TO HIS FELLOW ARABS WHEN THEY TERRORIZED THE PUBLIC.
Justice is served. Bin Laden is dead.
ReplyDeleteGod bless America.
I SUPPORT THE LAST COMMENTATOR, HOWEVER THE PROBLEM IS NOT WITH BIGOTS BUT WITH MUSLIMS WHO SEEM TO LOOK TO OSAMA AS THEIR PROPHET AND CHAMPION. OSAMA KILLED MANY INNOCENT PEOPLE BUT COMMON MUSLIMS IN TANZANIA SEEM TO BE MOANING HIS DEATH INSTEAD OF BEING THANKFUL THAT THE WORLD IS RID OF A DANGEROUS HEINOUS MAN
ReplyDeleteHUKUM MIKONONI MWA BINADAMU MWENZIO,,
ReplyDeleteOK, THOUGH HUA TUNACHOMA MOTO WEZI,MAJAMBAZI KWA KUA TU WANATUIBIA MALI ZETU,,INAKUAJE ANAYEUA INNOCENT PEOPLE ASIUAWE,,, SIDHANI KAMA ILIKUA LAZIMA AFIKISHWE MAHAKAMANI NDIO HUKUM ITOLEWE...
INNA LILAH WAINA ILAIH RAJJIUN THATS ALL I CAN SAY.
WAMESAHAU HAO KUA OSAMA WAKO WENGI HATA BUSHI ALISHAWAHI KUMUA OSAMA AU MMESAHAU
ReplyDeletemarekan ina tafuta nini uarabuni?
ReplyDeletekwanini marekani hupenda kuingilia matatizo ya inchi zingine?