Kama kawaida keep left iliyozuka katikati ya barabara ya Chole jijini Dar, karibu na International School of Tanganyika, inaendelea kutesa kwa wiki ya nne sasa na wahusika wanasubiri Waziri Mkuu aje afungue. Handaki hili ni moja tu kati ya mengi yaliyoibuka karibu kila kona ya jiji hili na hakuna anayejali
Home
Unlabelled
Keep left mpya masaki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
teh kaka sio la kushangaa hilo, wanasubiri mpaka JK au PINDA waseme,..mi nafikiri bora hiyo ya huko masaki...kuna ile KIPI LEFT ya pale BUGURUNI we acha tuuu tayari gari 2 zishapiga mweleka, gari zaidi ya 15 zinakufa pale pale.........yaaan ukibugi tuuuu ukaingia UMEUA GARI YAKO......
ReplyDelete