Afisa Mtendaji Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Bw. Chiruyi Walingo (kulia), akizungumza na washiriki wa mafuzo ya siku moja ya ufanisi wa kibiashara kwa mawakala na wasambazaji wa huduma za airtel jinini Dar es Salaam jana. Katika mkakati wa kampuni ya Airtel kuendelea kuwajengea uwezo na ufanisi wa kibiashara wasambazaji wa huduma pamoja na bidhaa za mawasiliano ya simu za mkononi, kampuni imeandaa mfululizo wa mafunzo mahsusi kwa wajasili amali wadogowadogo na wale wa kati. Mafunzo ya jana yalishirikisha zaidi ya washiriki 200.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...