"ASSALAM ALEYKUM"
Familia ya Sheikh Yahaya Hussein Karanda iliyopo UK inayo furaha kuwaalika ndugu jamaa na marafiki Katika Kisomo ( Hitma) kumuombea mpendwa Ndugu yetu Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Aliyefariki Dunia Tarehe 20/5/11 mjini Dar es salaam, Tanzania.
Kisomo kitafanyika Mjini Coventry UK, Jumapili Tarehe 29/5/11 Saa 8 (Nane) mchana katika ukumbi ujulikanao kama;
COVENTRY MUSLIM RESOURCE CENTRE,
RED LANE,
CV6 5EE,
WEST MIDLAND.
Kufika kwako ndio ukamilifu wa shughuli hii.
Pia tunaomba tuzangatie muda. Kwa maelezo zaidi piga namba hizi; 07424667297, 07424066554, 07466656107. Ahsanteni.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...