Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2011

    mambo vipi anko michuzi kwanza nawapa pongezi bascelona kwa kutoa ubingwa na kutuonesha kandanda babu kubwa na nawapa pole manchester kwa kufungwa 3-1 na kufundisha ball ya uhakika lazima faga ajifundishe kwa barcelon.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2011

    Kwa ball possession ya 67 kwa 33 magori matatu honestly hayakutosha! Barca walitakiwa wavune sichini ya magori 8. Kwa kifupi Barca is the best team of the century!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2011

    Michuzi mbona unatoa mara ya 4 tunajua kama Man u tumefungwa na Best in the world hata kama wewe ungetia timu yako ya LIVERFOOL ungefungwa, kwani kwa sasa hakuna timu in EUROPE inayowaweza hawa jamaa kwa hiyo hata ukisema huo ndio ukweli tu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 29, 2011

    ANKAL,HABARI ZA KAZI NA ENDELEA KUPOST HIZI COMMENT, HAWA JAMAA UTD NI HOVYOOO KABISA,WAMEZOA KUBEBWAAA,HAPA UK WATAPETA SANA KWA KUBEBWA, LAKINI WAKITOKA HAPA MBEREKO FULLSTOP.............WALIOMBA SANA WAPATE KISINGIZIO CHA RED CARD LAKINI HAKUNAAAAAA.....FITNA YOTE KWISHNEEE

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 29, 2011

    Man wanajuwa kucheza chumbani tu wakitoka nje wanapigwa makonzi kama watoto wadogo timu ina wapenzi wengi wanaoipenda kutokana na kufata rangi ya jezi wengine wanafata mkumbo tu hawana lolote wanaume wa ukweli wamewaonyesha mpira wa kikweli kudadadadeki macelona 4 real.

    ReplyDelete
  6. Pablo sakamotoMay 30, 2011

    Michuzi mboo hujaweka magoli ya barcelona, ilo goli la rooney burgundy mboo hata striker wa timu ya wanawake ya kill star anaweza funga. Enyeweii, it was a big disgrace to the english premier league for bingwa mtetezi kuadabishwa kiasi hicho.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 30, 2011

    Du Pablo?

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 30, 2011

    Arsenal Pekee ndo wanaweza wasimamisha hawa 11/11!!! Walijiandaa na ukumbi, suti, wake zao na watoto wote walivalishwa jezi! Sasa night dogo wa Rooney anamuuliza Daddie y don't we gon to party? hakuwa anawatch game, mzee kafyum balaaa!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...