Lotus, mshiriki wa Big Brother Amplified aliyeenguliwa baada ya kumtia makofi mshiriki toka Sauzi akiliwa konozzzzz na ankal baada ya mahojiano yao ya ana-kwa-ana muda mfupi uliopita hoteli fulani jijini Dar. Maelezo kamili na video ya mahojiano hayo vinaandaliwa. kaa chonjo kujua kilichomsibu kutoka mdomoni mwa farasi....
Lotus na Barbra Kambogi, ofisa habari wa DSTV Tanzania, wakiangalia video kamera maalum ya ankal

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2011

    Ya lets wait to hear something "FROM THE HORSE'S MOUTH"

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2011

    Michu naomba contact zake, nimekuwa nikimfuatilia BBA ningependa kumbeba kabisa kama atanikubali.

    Nkyabo - Bongo

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2011

    Lotus ameniudhi, tena sana sana tu! Kwanini amempiga kikofi kidogo, ilikuwa amcharange Luclay kisawasawa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...