Mchezaji wa Pool kutoka Chuo cha CBE akimaliza mchezo kwa mbwembwe na kuifanya timu yake kuingia katika hatua ya fainali katika mashindano ya Safari Lager Pool kwa vyuo vya elimu ya juu,yaliyomalizika jana jioni katika ukumbi wa Coco Beach jijini Dar.hadi mwisho wa mashindano hayo timu ya Chuo cha IFM ndio walioibuka kidedea na kwa kuunyakua ubingwa huo na kujihakikishia kuingia moja kwa moja kwenye mashindano hayo kwa ngazi ya Taifa yatakayofanyikika mkoani Dodoma hivi karibuni na kukutanisha vyuo mbali mbali vilivyoshinda katika mikoa yake.

Mashindano yakiendelea.

Mchezaji kutoka Chuo cha DSJ akionyesha umahiri wake wa kusukuma mipira shimoni katika mashindano ya mchezo wa Pool kwa Vyuo vya Elimu ya Juu vya hapa jijini Dar,yaliyomalizika jana jioni katika ukumbi wa Coco Beach.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...