Mbunge wa jimbo la Kalenga,Dr wiliam Mgimwa (katikati) akipongezwa na wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Lyandembela iliopo Jimbo la Kalenga,mkoani Iringa mara baada ya kukabidhi madawati shuleni hapo.
Mbunge wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa, Dr.Wiliam Mgimwa akiandika hundi yenye thamani ya Tsh.Milioni 1 kwa ajili ya kuchangia maendeleo ya Shule ya Msingi Kibaoni iliopo ndani ya Jimbo lake.
Mbunge wa jimbo la Kalenga, Dr Wiliam Mgimwa akimkabidhi mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kibaoni hudi yenye thamani ya Tsh. mil. 1 ikiwa ni sehemu ya kuchangia maendeleo katika Shule hiyo.
Mbunge wa jimbo la kalenga mkoani Iringa, Dr. Wiliam Mgimwa akikagua darasa la saba katika shule ya msingi Kibaoni.
Diwani wa kata ya Ifunda, Elia Mgwila akizungumza na wanafunzi wa sekondari ya Lyandembela ambapo Mbunge wa Jimbo la Kalenga alitembelea na kuchangia msaada wa Madawati katika shule hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2011

    Huo si msaada, wananchi walimchagua ili alete maendeleo jimboni kwake, so he is just doing his job.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...