Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Dr. Didas Massaburi akiongea na vyombo vya habari kuhusu Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) itakayofanya mkutano wake mkuu wa mwaka wa 27 katika hoteli ya Kunduchi Beach hapa Dar es salaam. Mkutano huo ambao mwenyeji wake ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
meya wa jiji la dar atangaza ujio wa mkutano wa alat
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Jiji chafu kama nini...Hizi gharana zingenunua pipa za taka na kuwekwa kila kona ya jiji badala ya kuangaika na hii mikutano au kulipia hata kipindi cha saa 1 kwenye TV ili kuelimisha watu wa DAR juu ya usafi..uswahilini huko hapafai yaani ni kuchafu..mtu anabeba uchafu nyumbani kwake usiku wa manane anaenda kutupa barabarani...!!
ReplyDelete