Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa kimataifa wa Elimu Mtandao unaolenga kuimarisha  matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwa maendeleo , Elimu na mafunzo jana jioni.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na washiriki wa mkutano wa kimataifa wa Elimu Mtandao unaolenga kuimarisha matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwa maendeleo , Elimu na mafunzo 
  Sehemu ya washiriki wa mkutano wa kimataifa wa Elimu mtandao wenye lengo la kuimarisha matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwa maendeleo , Elimu na mafunzo

 Naibu mawaziri wa Tanzania Charles Kitwanga (katikati) kutoka Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Teknolojia na Athuman Mfutakamba (kulia) wa Wizara ya Uchukuzi wakibadilishana mawazo na  Bw. L.D.K Dokora kutoka Wizara ya Elimu Zimbabwe wakati wa mkutano huo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Serikali mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mlimani City kufungua Mkutano wa kimataifa wa Elimu mtandao wenye lengo la kuimarisha matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwa maendeleo , Elimu na mafunzo
Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2011

    Kwani Tanzania usalama umekuwa ishu? mbona viongozi wanakuwa na list kubwa ya hawa vijana (ambao wanaonekana mbele mbele)?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...