Mtego kabambe wa Panya for only 500/-
Bustani ya Mnazi Moja Garden jijini Dar leo
Picha na Mdau I. MSAFIRI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2011

    Tafadhali
    Kuuliza zi ujinga
    How does this mtego wa panya work
    Can anyone post internet links so that I can educate myself
    Wakatabahu

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 10, 2011

    Ndugu anon wa kwanza hapo juu..

    Huu mtego unafanya kazi kama ifuatavyo:

    1. Funga kamba ncha moja kwenye mtego, ncha nyingine kwenye kitu fixed chenye uzito wa kutosha kutoburuzwa na panya - kama vile mguu wa kitanda.

    2. Paka mchuzi kwenye mtego ili mtego uwe na harufu ya chakula kumvutia panya.

    3. Mtego umekamilika. Endelea na shughuli zako kama ni usiku kalale. Panya akija atadhani ni chakula atang'ata. Aking'ata tu meno yake yatang'ang'ania kwenye mtego hawezi kukimbia.

    4. Cheki asubuhi ukiamka kama kuna panya alinyeng'ata utamkuta mzima anakukuruka kutoka. Fungua mtego nenda kamuue nje, au mtupe jalalani kama unaogopa kuua panya. Unaweza ukasubiri wabeba takataka wakipita unawapatia huyo panya mzima mzima

    BONUS: Kama wewe ni mzee wa chamaki nchanga utakuwa umejipatia kitoweo swaaafi bure kabisa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...