Duka moja kubwa la jijini Dar es salaam, linatangaza nafasi tano (5) za kazi
kwa waombaji wenye sifa
zifuatazo:
1. Msichana/mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na 30.
kwa waombaji wenye sifa
zifuatazo:
1. Msichana/mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na 30.
2. Elimu kidato cha nne, sita na kuendelea.
3. Aweze kuongea na kuandika kwa ufasaha lugha za kiswahili na
kiingereza.
Fika ofisini kwetu ukiwa na barua yako ya maombi iliyo
ambatanishwa na C.V yako kwa ajili ya usaili. kwa watakao fanikiwa wataanza kufanya kazi next day!
Kwa maelezo zaidi Piga simu 0713 60 83 83 au 0756 60 83 83


Hpa pana harufu sio nzui:
ReplyDelete- Kwanza, weka fursa sawa kwa jinsia zote, labda iwe ni duka kwa ajili ya kundi fulani la watu;
- Pili, usibague watu kwa umri wao, kama vile wafanyavyo kwenye mashindano ya umiss. Umri wa miaka 18 hadi 60 ndio sahihi;
- Tatu, ni kazi gani ambayo mtu mwenye miaka 31 haiwezi lakini mwenye umri chini ya hapo anaiweza?;
- Nne,