Rais Jakaya Kikwete akifunga rasmi semina elekezi kwa viongozi na watendaji wakuu wa Serikali, mjini Dodoma leo. Kulia ni Jaji Mkuu Mh. Othman Chande.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Ezekiel Maige akielezea kwa wandishi wa habari mafanikio ya semina hiyo elekezi.
JK na Jaji Mkuu wakiondoka baada ya semina kumalizika leo mjini Dodoma.
Katibu Mkuu Kiongozi akielezea kwa waandishi wa habari, hatua watakazochuliwa kwa viongozi watakaokiuka maazimio ya semina elekezi.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko, Joyce Mapunjo (kulia), akiwa na Mshauri wa Uchumi wa Rais Bi. Elsie Kanza, wakitoka kwenye ukumbi baada ya semina elekezi kumalizika leo.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema (katikati) akizungumza na Waziri wa Kilimo, Jumanne Magembe baada ya semeina elekezi kumalizika leo mjini Dodoma. Kushoto ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mathayo.
Baadhi ya mawaziri wakipiga makofi baada ya Rais Jakaya Kikwete kufunga rasmi semina elekezi ya siku saba mjini Dodoma.
Baadhi ya viongozi na watendaji wakuu wa Serikali wakisikiliza kwa makini hotuba ya Rais wakati wa kufunga semina elekezi.
Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo, Kielezea maazimio yaliyofikiwa kwenye semina elekezi wakati wa kufunga semina hiyo leo mjini Dodoma.
Picha zote na Kamanda wa Matukio Richard Mwaikenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbeba MaboxMay 15, 2011

    How much this event costed the taxpayers

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...