Thuwein Makamba(kushoto)akiwa katika picha ya Pamoja na Dada Yake Mwamvita Makamba Muda mfupi baada ya Kulamba Nondozzz ya Masters Degree in Tropical Medicine Kutoka 
Tulane University nchini Marekani
 Thuwein Makamba akiwa na Mdau(kushoto) na Dada yake Mwamvita Makamba Muda mfupi baada ya Kulamba  Nondozzz ya Masters Degree in Tropical Medicine Nchini Marekani
Mwamvita Makamba(kati)akiwa na Wadau Mbalimbali Nchini Marekani Muda Mfupu baada ya Sherehe za Kumpongeza Thuwein Makamba(kulia)Kwa Kulamba  Nondozzz ya Masters Degree in Tropical Medicine Nchini Marekani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2011

    kina makamba wote kama chupa za bia.... huwezi kuwakosea kabisa.

    afu wenzetu karibia familia nzima wasomi, ukiolewa/kuoa hapo huna hata elimu ya form 6 inakuwaje? mmmmmmh

    hongera bwamdogo

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2011

    Thuein fanya urudi Bongo bhana,chama chenu kinayumba...kinahitaji damu changa kama yenu...Hongera sana,tena tena

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2011

    Hongereni kina "Manyuzi" mmejitoa kimasomaso kwenye elimu. Ni jambo zuri sana. Mzee wenu aliona mbali mumpe heshima yake kwa hilo.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2011

    kaka huna budi kumshukuru Allah kuhitimu masomo.pamoja na juhudi zako bila yeye isingewezekana.
    Haya sasa shule imekwisha..karibu bongo tuungane kwenye mapambano kutokomeza adui zetu akina Ujinga,Maradhi,Njaa na UCHAKACHUAJI!
    dupr!

    ReplyDelete

  5. Hongera brother

    katibu sana bongo uje tuanze kutafuta kazi sote

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...