Miss Tanzania 2010 Genevive Mpangala akizindua rasmi VODACOM MISS KAGERA 2011, ukumbi wa LINUZ CLUB wikiendi hii mjini Bukoba

Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss TZ Ephraim Makoye (shoto) na Miss TZ wakiwa studiuo za Redio Gene FM mjini Bukoba

Miss TZ akiwa na event manager Max

Miss TZ 2011 Genevive Mpangala akipokewa kwa shangwe uwanja wa ndege wa Bukoba

Miss TZ akihutubia wakati wa uzinduzi huo
Picha ya pamoja baada ya uzinduzi
MISS KAGERA 2011 ITAFANYIKA TAREHE 10, JUNI HAPO HAPO LINUZ CLUB BUKOBA MJINI. WA
DHAMINIWAKUU NI VODACOM , WENGINE NI REDS(TBL), COCACOLA NYANZA BOTTLE, MICHUZI BLOG, VISION FM (BUKOBA), KASIBANTE FM( BUKOBA), MAMA NICE SALOON NA WENGINE BADO WANAKALIBISHWA.


Kaka Michuzi,ebu nipe masharti ya udhamini! Ningependa nami niwe mdhamini binafsi ktk mikoa ya kanda ya ziwa.
ReplyDeleteTHE GENTLEMAN IN THE STUDIO ANAITWA ALBERT MAKOYE NA CIO EPHRAIMU
ReplyDeleteAisee hii Miss Tanzania mlimkandia ila mimi niligongana nayo jana hii kitu si mchezo, inalipa!!
ReplyDeleteHapo wadau wawili wanaonekana macho yao yote wapo kwa Miss TZ!!
ReplyDelete