Mkurugenzi wa utawala na fedha( Bima )Bw Justine Mwandu akitoa hotuba katika kikao cha 3 cha mameneja kilichofanyika katika Hotel ya Giraffe Ocean View jijini Dar es salaam hivi karibuni kuhusiana na mafunzo ya mahudhurio ya ndani na nje ya shirika pamoja na kutathimini hali ya biashara ya shirika hilo kwa sasa huduma zake nzuri ukizingatia na madeni ya muda mrefu ya wateja yanaendelea kulipwa mikoani na katika matawi yalioko Dar es salaam, Bw Justine Alisema wateja wawe na imani na shirika maana wateja wetu ndio wafalme na tupo kwa ajili ya kuwahudumia huku tukiboresha utendaji wa kazi za shirika letu,Waliohuthuria katika kikao hicho ni mameneja wakuu wa mikoa na wakurugenzi wakuu
Mameneja wakifurahia jambo kwenye kikao cha tatu cha mameneja na wakurugenzi kushoto Anne mbughuni(DFA)Mwanaidi Shemweta Public Relations (wapili)Bunny Ntimba Manager (watatu) na Adelaide Muganyizi Manager,wa mwisho kulia. 



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...