Je wewe ni msanii wa kike mwenye umri wa kati ya miaka 18 na 45?
Una muonekano mwenye haiba na mvuto?
Kama jibu ni ndio basi hii ni habari njema sana kwako..Kituo cha MAISHAMEMA EDUCATION & TRAINING CENTRE kinatafuta wasanii wa kike kwa ajili ya kuingia nao mkataba wa kucheza maigizo katika picha ambayo yatakuwa yakitumika katika jarida la MAISHAMEMA litakalo anza kuwa mitaani, tarehe 01 june.

Usaili utafanyika. Siku ya jumamosi ya tarehe 14/ 05/2011 kuanzia saa nne kamili asubuhi katika ofisi zetu zilizopo katika shule ya Sekondari Perfect Vision.

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU: 0652458398...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2011

    Je maingizo hayo yatahusisha sanaa za watu wazima?

    ReplyDelete
  2. ChakubangaMay 07, 2011

    Kwenye sanaa za maigizo kuna "different role" hivyo si dhani kama ni sahihi kigezo cha kuchagua washiriki kiwe ni haiba na mvuto, cha kuzingatia ni uwezo wa kuigiza "talent" hayo mengine ni nyongeza labda kama mnataka kutayarisha video za picha za ngono " adult entertainment"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...