Waziri Mkuu Mh. Pinda akibadilishana mawazo na madaktari wa kitengo cha tiba ya figo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bi. Blandina Nyoni. (Picha zote na Catherine Sungura-MOHSW).
Mh. Pinda akikagua baadhi ya matanki ya kuhifadhia maji nje ya jengo hilo, kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Blandina Nyoni.
Waziri Mkuu akipata maelezo ya mashine ya usafirishaji na uchujaji damu toka kwa mkuu wa kitengo na daktari bingwa wa figo, Dk. Linda Ezekiel katika kitengo cha tiba ya figo katika hospitali ya Taifa ya muhimbili.
Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda akitazama ujenzi unaoendelea wa kituo cha upasuaji, tiba na mafunzo ya ugonjwa wa moyo katika hospitali ya Taifa ya muhimbili inayojengwa na serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya watu wa China, kulia ni injinia Tian Cuiping.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...