Waziri wa Michezo wa Zanzibar Abdullahi Jihadi Hassan (kushoto) akimkabidhi mwakilishi wa timu ya Kaskazini A, Kombo Sheha pesa za nauli kwa ajili ya nauli ya timu yake iliyoshiriki mashindano ya Vodacom Muungano Cup kundi mashindano yaliyomalizika juzi Zanzibar. Vijana ya Wilaya ya Mjini Unguja ndiyo iliyochukua nafasi ya kwanza na inatarajiwa kucheza na bingwa wa kundi la Tanzania bara. Kundi la Tanzania bara liko wilaya Mufindi mkoani Iringa,Kushoto Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude.
Waziri wa Michezo wa Zanzibar Abdullahi Jihadi Hassan akikagua timu Wilaya ya Mjini Zanzibar,kabla ya kupambana na timu ya Kaskazini A,ambapo Wilaya ya Mjini ilishinda ilifunga 3-1Kasnazini katika mashindano ya Vodacom Muungano Cup Vijana ya Wilaya ya Mjini Unguja ndiyo iliyochukua nafasi ya kwanza na inatarajiwa kucheza na bingwa wa kundi la Tanzania bara. Kundi la Tanzania bara liko wilaya Mufindi mkoani Iringa
Wachezaji wa timu ya Wilaya ya mjini na kaskazini wakimenyana vikali katika mashindano ya Vodacom Muungano Cup Vijana ya Wilaya ya Mjini Unguja ndiyo iliyochukua nafasi ya kwanza na inatarajiwa kucheza na bingwa wa kundi la Tanzania bara. Kundi la Tanzania bara liko wilaya Mufindi mkoani Iringa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...