Lile songi la "Baba wa kambo" sasa limetua katika kambi mpya ya
Ngoma Africa band na kufanya zogo la nguvu...wimbo huo wa "Baba waKambo" wenye ujumbe mzito kwa jamii sasa utunzi wake Kamanda Ras Makunja unaweza kusikiliza at www.ngoma-africa.com ambako baba wa kambo alivamia kambi hiyo ya FFU wa Ughaibuni aka Ngoma Africa band,na kuwafanyia kweli..,pamoja na FFU hao kujihimarisha kiulinzi..kwakutumia virungu na wanyama wakali lakini "Baba wa kambo" bado anatembeza kichapo..FFU katika kambi yao hiyo pia walisalimia wazee lakini baada ya "Salam Zenu" "Baba wa kambo" kaamua kuwatembezea bakora kiasi cha FFU hao waombe msaada kwa ankal yao Michuzi aende kushudia kisago hiko !Song hilo la " Baba wa Kambo" pia limeanza kupasua anga katika kituo TBC radio mjini Tanga! sikiliza zaidi at www.ngoma-africa.com
Home
Unlabelled
baba wa kambo awaponza FFFU ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



watoto kama ffu kuchapa bakora size yao,wamekuwa watukutu mno..tena hawana adabu hata chembe,tena kile kikamanda chao ni kitukutu mnoo..Baba wa kambo fanya kazi yako..chapa mikwaju
ReplyDelete