Msanii chipukizi kutoka Chuo Kikuu cha UDOM, Barbra Kalugira akiwaongoza wanafunzi wenzake pamoja na Meneja wa Grand Malt,Consolata Adam (wanne kulia) na baadhi ya wadau wa kinywaji cha Grand Malt kucheza kwaito wakati wa hafla za tuzo za kinywaji hicho kwenye Uwanja wa CBE Dodoma mwishoni mwa wiki.

Wasanii wa kundi la TMK wanaume,Mh. Temba (shoto) na Chegge (kulia) wakiimba na kucheza wakati wa hafla ya tuzo kwa wanafunzi wa Vyuo vikuu lililofanyika kwenye Uwanja wa CBE mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...