Hi Ankal!!!

Today its the  4th birthday of My Lovely Daughter, Nadya, Please Ankal give me even a piece of space in the Blog ya Jamii to show my happiness to other stakeholders of Blog ya Jamii, Thanx in Advance Ankal.

Allah amjaalie miaka mingi ya kuishi katika kutambua uwepo wa yeye (ALLAH) mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo na kubwa kubwa pia.

Its me Maftah!!!(Baba Nadya)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 01, 2011

    Mtoto mzuri mashaallah!!Allah akuongoze na akupe umri mwema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...