Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Muleba Kusini na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Charles Mwijage, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwandishi wa Habari wa Kujitegemea kutoka Musoma, Bigambo Jeje kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2011

    Kaka Michuzi na timu yako kuweni makini mnapokuwa mnataja majina ya watu na kazi/vyeo vyao, mara kibao tu mnachanja pori kaka na kuwachanganya wasomaji. Waziri wa ardhi.... nadhani ni prof.Anna Tibaijuka labda kama JK amefanya mabadiliko jana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...