Baadhi ya Wahariri vyombo mbali mbali ya Habari wakiwa katika hifadhi ya wanyama ya Mikumi mara baada ya kumalizika kwa Warsha ya TANAPA iliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro.
Wahariri wakiwa Mikumi baada ya Warsha ya TANAPA mwishoni mwa wiki.
Wahariri wakiwa Hifadhi ya Taifa Mikumi baada ya Warsha ya TANAPA kwa Wahariri mwishoni mwa wiki iliyofanyika mkoani Morogoro.
Wahariri wakiangalia bwawa lenye kiboko lililopo ndani ya hifadhi ya Taifa ya Mikumi pindi walipotembelea mara baada ya kumalizika kwa Warsha iliyokuwa imeandaliwa na TANAPA mkoni Morogoro mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2011

    Sasa wanatuambia kitu gani hao waandishi wa habari?Niliwaona pale mikumi siku ya Jumamosi tarehe 25/6/2011 wanashangaa tu na coaster yao.Nilitegemea watupe hatafaida moja ya kutembelea hiyo mbuga basi..Wameweka picha zao tu basi ..kweli waandishi tunanao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...