Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) Ramdhan Khalfan (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu ya maonyesho ya 35 ya Biashara ya  kimataifa ya Dar es salaam yanayoanza kesho Jumanne jijini Dar. Wengine katika picha ni Kaimu Mkurugenzi Ukuzaji Biashara wa TANTRADE Masha Hussein(kushoto) na Mwakilishi wa wafadhili wa maonyesho ya mwaka huu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Home Shopping Centre Said Mohamed (kulia). Chini Bw. Khalfan akionesha hati ya kimataifa ya ubora wa maonesho ambayo TANTRADE imetunukiwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...