Mshindi wa promosheni ya Jivunie SMS, Michael Swai wa Musoma mjini, mkoani Mara akifurahia mandhari ya ndani ya gari mara baada ya kukabidhiwa zawadi yake ya hilo na Airtel. Swai, ambaye ni muuza duka,amejishindia gari mpya aina yaToyota Rav 4 yenye thamani ya shilingi milioni 47 katika promosheni iliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana. Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika viwanja vya Mukendo mjini Musoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2011

    Nauliza swai ni mfanyabiashara au muuza duka umesema mfanyabiashara amejishindia gari theni muuza duka anavinjari na gari lake je ipi sahihi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2011

    kwani mtu awezi kufanya biashara ya kuuza duka?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...